Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:10 - Swahili Revised Union Version

Ndipo nyumbani tena wanafunzi wakamwuliza habari ya neno hilo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipoingia tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake walimwuliza juu ya jambo hilo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipoingia tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake walimwuliza juu ya jambo hilo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipoingia tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake walimwuliza juu ya jambo hilo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipokuwa tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamuuliza kuhusu jambo hili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipokuwa tena ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamuuliza kuhusu jambo hili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo nyumbani tena wanafunzi wakamwuliza habari ya neno hilo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:10
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;


Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.


Naye alipokuwa peke yake, wale watu waliomzunguka, na wale Kumi na Wawili, walimwuliza kuhusu ile mifano.


Alipoingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kwa faragha, Mbona sisi hatukuweza kumtoa?


Wakafika Kapernaumu; hata alipokuwamo nyumbani, akawauliza, Mlishindania nini njiani?