Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 1:42 - Swahili Revised Union Version

Na mara ukoma wake ukamtoka, akatakasika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara ukoma ukamwacha mtu huyo, akatakasika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara ukoma ukamwacha mtu huyo, akatakasika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara ukoma ukamwacha mtu huyo, akatakasika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara ukoma ukamtoka, naye akatakasika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara ukoma ukamtoka, naye akatakasika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mara ukoma wake ukamtoka, akatakasika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 1:42
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maana Yeye alisema, na ikawa; Na Yeye aliamuru, ikaumbika.


Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.


Akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.


Naye akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika.


Akamkataza kwa nguvu, akamwondoa mara,


Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, naye akafahamu mwilini mwake kwamba amepona msiba ule.


Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia.