Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:7 - Swahili Revised Union Version

Amenizinga pande zote hata siwezi kutoka; Amenifunga kwa mnyororo mzito.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amenizungushia ukuta nisitoroke, amenifunga kwa minyororo mizito.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amenizungushia ukuta nisitoroke, amenifunga kwa minyororo mizito.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amenizungushia ukuta nisitoroke, amenifunga kwa minyororo mizito.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka, amenifunga kwa minyororo mizito.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka, amenifunga kwa minyororo mizito.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amenizinga pande zote hata siwezi kutoka; Amenifunga kwa mnyororo mzito.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye ameiziba njia yangu nisipate kupita, Na kutia giza katika mapito yangu.


Kwa nini mtu aliyezibiwa njia kupewa mwanga, Ambaye Mungu amemzingira kwa ukigo?


Wanijuao umewatenga nami; Umenifanya kuwa chukizo kwao; Nimefungwa wala siwezi kutoka.


Jicho langu limefifia kwa ajili ya mateso BWANA, ninakuita kila siku; Ninakunyoshea Wewe mikono yangu.


Basi wakamtwaa Yeremia, wakamtupa katika shimo la Malkiya, mwana wa mfalme, lililo katika ukumbi wa walinzi; wakamshusha kwa kamba. Na mle shimoni hamkuwa na maji, ila matope tu; naye Yeremia akazama katika matope hayo.


Na sasa, tazama, nakufungulia leo minyororo hii iliyo mikononi mwako. Kama ukiona ni vema kwenda Babeli pamoja nami, haya! Njoo, nami nitakutunza sana; lakini kama ukiona ni vibaya kwenda Babeli pamoja nami, basi, acha; tazama, nchi yote iko mbele yako; palipo pema machoni pako na pa kukufaa, nenda huko.


Kongwa la makosa yangu limefungwa na mkono wake; Hayo yameshikamana; Yamepanda juu shingoni mwangu; Amezikomesha nguvu zangu;


Ameziziba njia zangu kwa mawe yaliyochongwa; Ameyapotosha mapito yangu.


Watufuatiao wako juu ya shingo zetu; Tumechoka, tusipate pumziko lolote.


Naye ameyathibitisha maneno yake, aliyoyanena juu yetu, na juu ya waamuzi wetu waliotuamua, kwa kumletea mambo maovu makuu; maana chini ya mbingu zote halikutendeka jambo kama hili, lilivyotendeka juu ya Yerusalemu.


Basi kwa ajili ya hayo, angalia, nitaiziba njia yako kwa miiba, nami nitafanya kitalu juu yake, asipate kuyaona mapito yake.