Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:62 - Swahili Revised Union Version

Midomo yao walioinuka juu yangu Na maazimio yao juu yangu mchana kutwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno na mawazo ya maadui zangu siku nzima ni juu ya kuniangamiza mimi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno na mawazo ya maadui zangu siku nzima ni juu ya kuniangamiza mimi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno na mawazo ya maadui zangu siku nzima ni juu ya kuniangamiza mimi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kile adui zangu wanachonong’ona na kunung’unikia dhidi yangu mchana kutwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kile adui zangu wanachonong’ona na kunung’unikia dhidi yangu mchana kutwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Midomo yao walioinuka juu yangu Na maazimio yao juu yangu mchana kutwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:62
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wamenoa ndimi zao na kuwa kama za nyoka, Na katika midomo yao mna sumu ya fira.


Kwa dhambi ya kinywa chao, Na kwa neno la midomo yao, Wanaswe kwa kiburi chao, Kwa ajili ya kulaani na uongo wasemao.


Tazama, kwa vinywa vyao huteuka, Midomoni mwao mna panga, Kwa maana ni nani asikiaye?


Hapo ndipo waliposema, Njooni na tufanye mashauri juu ya Yeremia; maana sheria haitampotea kuhani, wala shauri halitampotea mwenye hekima, wala neno halitampotea nabii. Njooni, na tumpige kwa ndimi zetu, wala tusiyaangalie maneno yake yoyote.


basi tabiri useme, Bwana MUNGU asema hivi; Kwa sababu, naam, kwa sababu wamewafanya ninyi kuwa ukiwa, na kuwameza pande zote, mpate kuwa milki kwa mabaki ya mataifa, nanyi mmesemwa kwa midomo yao waongeao, na kwa masingizio ya watu;