Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:6 - Swahili Revised Union Version

Amenikalisha penye giza, Kama watu waliokufa zamani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amenikalisha gizani kama watu waliokufa zamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amenikalisha gizani kama watu waliokufa zamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amenikalisha gizani kama watu waliokufa zamani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amenifanya niishi gizani kama wale waliokufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amenifanya niishi gizani kama wale waliokufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amenikalisha penye giza, Kama watu waliokufa zamani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maana adui ameifuatia nafsi yangu, Ameutupa chini uzima wangu. Amenikalisha mahali penye giza, Kama watu waliokufa zamani.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Twapapasapapasa kutafuta ukuta kama kipofu, naam, twapapasa kama watu wasio na macho; twajikwaa wakati wa adhuhuri, kana kwamba ni wakati wa ukungu wa alfajiri; kati yao walionenepa tumekuwa kama wafu.