Zaburi 143:3 - Swahili Revised Union Version3 Maana adui ameifuatia nafsi yangu, Ameutupa chini uzima wangu. Amenikalisha mahali penye giza, Kama watu waliokufa zamani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Maadui zangu wamenifuatia; wameniangusha chini kabisa wameniketisha gizani kama mtu aliyekufa zamani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Maadui zangu wamenifuatia; wameniangusha chini kabisa wameniketisha gizani kama mtu aliyekufa zamani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Maadui zangu wamenifuatia; wameniangusha chini kabisa wameniketisha gizani kama mtu aliyekufa zamani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Maana adui ameifuatia nafsi yangu, Ameutupa chini uzima wangu. Amenikalisha mahali penye giza, Kama watu waliokufa zamani. Tazama sura |