Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:43 - Swahili Revised Union Version

Umetufunika kwa hasira na kutufuatia; Umeua, wala hukuona huruma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Umejizungushia hasira yako ukatufuatia, ukatuua bila huruma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Umejizungushia hasira yako ukatufuatia, ukatuua bila huruma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Umejizungushia hasira yako ukatufuatia, ukatuua bila huruma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia; umetuchinja bila huruma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia; umetuchinja bila huruma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umetufunika kwa hasira na kutufuatia; Umeua, wala hukuona huruma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:43
12 Marejeleo ya Msalaba  

Japo ulituponda katika pango la mbwamwitu, Na kutufunika kwa uvuli wa mauti.


Umewalisha mkate wa machozi, Umewanywesha machozi kwa kipimo kikuu.


Ndivyo utakavyowafuatia kwa tufani yako, Na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.


BWANA ameyatenda aliyoyakusudia; amelitimiza neno lake, Aliloliamuru siku za kale; Ameangusha hata chini, Wala hakuona huruma; Naye amemfurahisha adui juu yako, Ameitukuza pembe ya watesi wako.


Kijana na mzee hulala chini Katika njia kuu; Wasichana wangu na wavulana wangu Wameanguka kwa upanga; Umewaua katika siku ya hasira yako; Umeua, wala hukuona huruma.


Utawafuatia kwa hasira, na kuwaangamiza Wasiwe tena chini ya mbingu za BWANA.


Naam, nikilia na kuomba msaada, Huyapinga maombi yangu.


Jicho langu halitaachilia, wala sitaona huruma; nitakupatiliza njia zako na machukizo yako yote yatakuwa katikati yako; nanyi mtajua ya kuwa mimi, BWANA, napiga.


Kwa sababu hiyo mimi nami nitatenda kwa ghadhabu; jicho langu halitaachilia, wala sitawaonea huruma, na wajapolia masikioni mwangu kwa sauti kuu, sitawasikiliza.


Nami, jicho langu halitaachilia, wala sitakuwa na huruma; lakini nitaleta njia yao juu ya vichwa vyao.