Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:36 - Swahili Revised Union Version

Na kumnyima mtu haki yake, Hayo Bwana hayaridhii kabisa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kesi ya mtu inapopotoshwa mahakamani, je, Mwenyezi-Mungu haoni hayo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kesi ya mtu inapopotoshwa mahakamani, je, Mwenyezi-Mungu haoni hayo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kesi ya mtu inapopotoshwa mahakamani, je, Mwenyezi-Mungu haoni hayo?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kumnyima mtu haki: Je, Bwana asione mambo kama haya?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kumnyima mtu haki: Je, Bwana asione mambo kama haya?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kumnyima mtu haki yake, Hayo Bwana hayaridhii kabisa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:36
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hata maombolezo hayo yalipokwisha, Daudi akatuma mtu, akamtwaa, akamtia nyumbani mwake; naye akawa mkewe, akamzalia mtoto wa kiume. Lakini jambo lile alilolitenda Daudi likamchukiza BWANA.


Ee BWANA, wanawaponda watu wako; Wanautesa urithi wako;


Ukisema, Sisi hatukujua hayo; Je! Yeye aipimaye mioyo siye afahamuye? Naye ailindaye nafsi yako siye ajuaye? Je! Hatamlipa kila mtu sawasawa na kazi yake?


Naam, kweli imepunguka kabisa, na yeye auachaye uovu ajifanya kuwa mateka; naye BWANA akaona hayo, akachukizwa kwa kuwa hapana hukumu ya haki.


BWANA asema hivi, Fanyeni hukumu na haki, mkamtoe yeye aliyetekwa katika mikono ya mdhalimu; wala msiwatende mabaya mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kuwadhulumu, wala msimwage damu ya mtu asiye na hatia katika mahali hapa.


Umekuona kudhulumiwa kwangu, Ee BWANA; Unihukumie neno langu.


Wewe uliye na macho safi hata usiweze kuangalia uovu, wewe usiyeweza kutazama ukaidi, mbona unawaangalia watendao kwa hila; na kunyamaza kimya, hapo mtu mwovu ammezapo mtu aliye mwenye haki kuliko yeye;


Pakiwa na mashindano kati ya watu, wakaenda maamuzini, na hao waamuzi wakawaamua; na wampe haki mwenye haki, na wamhukumie makosa yule mwovu;