Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:2 - Swahili Revised Union Version

Ameniongoza na kunipeleka katika giza Wala si katika nuru.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amenichukua akanipeleka mpaka gizani kusiko na mwanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amenichukua akanipeleka mpaka gizani kusiko na mwanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amenichukua akanipeleka mpaka gizani kusiko na mwanga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee gizani wala si katika nuru;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ameniongoza na kunipeleka katika giza Wala si katika nuru.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Atakimbizwa kutoka mwangani hata gizani, Na kufukuzwa atoke duniani.


Hapo nilipotazamia mema, ndipo yakaja mabaya; Nami nilipongojea mwanga, likaja giza.


Kwa sababu hiyo hukumu ya haki iko mbali nasi, wala haki haitufikii; twatazamia nuru, na kumbe! Latokea giza; twatazamia mwanga, lakini twaenda katika giza kuu.


Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.


Niliiangalia nchi, na tazama, ilikuwa ukiwa, haina watu; niliziangalia mbingu, nazo zilikuwa hazina nuru.


Jinsi Bwana alivyomfunika binti Sayuni Kwa wingu katika hasira yake! Ameutupa toka mbinguni hata nchi Huo uzuri wa Israeli; Wala hakukikumbuka kiti cha miguu yake Katika siku ya hasira yake.


utakwenda kwa kupapasapapasa mchana, kama apapasavyo kipofu gizani, wala hufanikiwi katika njia zako; nawe sikuzote utaonewa na kutekwa nyara, wala hapatakuwa na mtu wa kukuokoa.


ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.


Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.