Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:18 - Swahili Revised Union Version

Nikasema, Nguvu zangu zimepotea, Na tumaini langu kwa BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimewaza “Nimekata tamaa kabisa, tumaini langu kwa Mwenyezi-Mungu limetoweka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimewaza “Nimekata tamaa kabisa, tumaini langu kwa Mwenyezi-Mungu limetoweka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimewaza “Nimekata tamaa kabisa, tumaini langu kwa Mwenyezi-Mungu limetoweka.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka na yale yote niliyokuwa nimetarajia kutoka kwa Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka na yale yote niliyokuwa nimetarajia kutoka kwa bwana.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nikasema, Nguvu zangu zimepotea, Na tumaini langu kwa BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:18
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, tumaini langu liko wapi? Na tumaini langu, ni nani atakayeliona?


Nguvu zangu ni zipi, hata ningoje? Na mwisho wangu ni nini, hata nisubiri?


Nikiwa katika hangaiko langu nikasema, Wanadamu wote ni waongo.


Nami nilisema kwa pupa yangu, Nimekatiliwa mbali na macho yako; Lakini ulisikia sauti ya kilio changu Wakati nilipokulilia.


Kisha akaniambia, Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli; tazama, wao husema, Mifupa yetu imekauka, matumaini yetu yametupotea; tumekatiliwa mbali kabisa.


Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.


Ndipo Daudi aliposema moyoni mwake, Siku moja, basi, mimi nitaangamia kwa mkono wa Sauli; hakuna jema zaidi kwangu kuliko kukimbia mpaka nchi ya Wafilisti; naye Sauli atakata tamaa kunihusu, asinitafute tena kote mipakani mwa Israeli; hivyo nitaokoka katika mikono yake.