Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:12 - Swahili Revised Union Version

Ameupinda upinde wake, Na kunifanya niwe shabaha kwa mshale.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliuvuta upinde wake, akanilenga mshale wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliuvuta upinde wake, akanilenga mshale wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliuvuta upinde wake, akanilenga mshale wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amevuta upinde wake na kunifanya mimi niwe lengo kwa ajili ya mishale yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amevuta upinde wake na kunifanya mimi niwe lengo kwa ajili ya mishale yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ameupinda upinde wake, Na kunifanya niwe shabaha kwa mshale.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Ikiwa nimefanya dhambi, nikufanyieje, Ee mlinda wanadamu? Mbona umeniweka niwe shabaha yako, Hata nimekuwa mzigo kwa nafsi yangu?


Kwa maana mishale yako imenichoma, Na mkono wako umenipata.


Ameupinda upinde wake kama adui, Amesimama na mkono wake wa kulia kama mtesi; Naye amewaua hao wote Waliopendeza macho; Katika hema ya binti Sayuni Amemimina ghadhabu yake kama moto.