Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:10 - Swahili Revised Union Version

Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye ni kama dubu anayenivizia; ni kama simba aliyejificha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye ni kama dubu anayenivizia; ni kama simba aliyejificha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye ni kama dubu anayenivizia; ni kama simba aliyejificha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama dubu aviziaye, kama simba mafichoni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama dubu aviziaye, kama simba mafichoni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Alivyo kwangu ni kama dubu aoteaye, Kama simba aliye mafichoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kichwa changu kikijiinua, waniwinda kama simba; Tena wajionesha kwangu kuwa wa ajabu.


Huotea faraghani kama simba pangoni, Huotea amkamate mtu mnyonge. Naam, humkamata mtu mnyonge, Na kumkokota akiwa wavuni mwake.


Kama mfano wa simba atakaye kurarua, Kama mwanasimba aoteaye katika maotea yake.


Nilijituliza hata asubuhi; kama simba, anaivunja mifupa yangu yote; Tangu mchana hata usiku wanimaliza.


Amezigeuza njia zangu, na kuniraruararua; Amenifanya ukiwa.


Ameziziba njia zangu kwa mawe yaliyochongwa; Ameyapotosha mapito yangu.


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama mwanasimba kwa nyumba ya Yuda; mimi, naam, mimi nitararua, kisha nitakwenda zangu; nitachukua mbali, wala hapatakuwa na mtu wa kuokoa.


Njooni, tumrudie BWANA; maana yeye amerarua, na yeye atatuponya; yeye amepiga, na yeye atatufunga majeraha yetu.