Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 9:21 - Swahili Revised Union Version

Akawaonya, akawakataza wasimwambie mtu neno hilo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Halafu Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Halafu Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Halafu Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawakataza wasimwambie mtu yeyote jambo hilo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawakataza wasimwambie mtu yeyote jambo hilo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaonya, akawakataza wasimwambie mtu neno hilo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 9:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote ya kwamba yeye ndiye Kristo.


Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu yeyote habari ya maono hayo, hadi Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; ila nenda zako, ukajioneshe kwa kuhani, ukaitoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.


Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.