Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 9:21 - Swahili Revised Union Version

21 Akawaonya, akawakataza wasimwambie mtu neno hilo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Halafu Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Halafu Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Halafu Yesu akawaamuru wasimwambie mtu yeyote habari hiyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Isa akawakataza wasimwambie mtu yeyote jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Isa akawakataza wasimwambie mtu yeyote jambo hilo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Akawaonya, akawakataza wasimwambie mtu neno hilo;

Tazama sura Nakili




Luka 9:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu yeyote ya kwamba yeye ndiye Kristo.


Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambie mtu yeyote habari ya maono hayo, hadi Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; ila nenda zako, ukajioneshe kwa kuhani, ukaitoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.


Macho yao yakafumbuka. Naye Yesu akawaagiza kwa nguvu, akisema, Angalieni hata mtu mmoja asijue.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo