Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 6:5 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Isa akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 6:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato.


Kisha likatokea wingu, likawatia uvuli; sauti ikatoka katika lile wingu, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, msikieni yeye.


Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaitwaa mikate ile ya wonyesho, akaila akawapa na hao wenziwe, ambayo si halali kuila ila kwa makuhani peke yao.


Ikawa siku ya sabato nyingine aliingia katika sinagogi akafundisha; na mlikuwamo mtu ambaye mkono wake wa kulia umepooza.


Nilikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,