Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 6:5 - Swahili Revised Union Version

5 Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kisha Isa akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Isa akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.

Tazama sura Nakili




Luka 6:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato.


Kisha likatokea wingu, likawatia uvuli; sauti ikatoka katika lile wingu, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, msikieni yeye.


Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaitwaa mikate ile ya wonyesho, akaila akawapa na hao wenziwe, ambayo si halali kuila ila kwa makuhani peke yao.


Ikawa siku ya sabato nyingine aliingia katika sinagogi akafundisha; na mlikuwamo mtu ambaye mkono wake wa kulia umepooza.


Nilikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo