Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 6:31 - Swahili Revised Union Version

Na kama mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni vivyo hivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jinsi mnavyotaka watu wawatendee nyinyi, watendeeni wao vivyo hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jinsi mnavyotaka watu wawatendee nyinyi, watendeeni wao vivyo hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jinsi mnavyotaka watu wawatendee nyinyi, watendeeni wao vivyo hivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watendeeni wengine kama ambavyo mngetaka wawatendee ninyi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watendeeni wengine kama ambavyo mngetaka wawatendee ninyi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kama mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni vivyo hivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 6:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii.


Mpe kila akuombaye, na akunyang'anyaye vitu vyako, usitake akurudishie.


Maana torati yote imetimilika katika neno moja, nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako.