Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 6:18 - Swahili Revised Union Version

na wale waliosumbuliwa na pepo wachafu; waliponywa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walikuwa wamekuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walikuwa wamekuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na wale waliosumbuliwa na pepo wachafu; waliponywa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 6:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, mwanamke Mkanaani wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Bwana, umrehemu mwanangu, kwa kuwa ana kifafa, na kuteswa vibaya; maana mara nyingi huanguka motoni, na mara nyingi majini.


Akashuka pamoja nao, akasimama mahali tambarare, pamoja na wanafunzi wake wengi, na makutano makubwa ya watu waliotoka Yudea wote na Yerusalemu, na pwani ya Tiro na Sidoni; waliokuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao;


Na makutano yote walikuwa wakitaka kumgusa, kwa sababu uweza ulikuwa ukimtoka ukiwaponya wote.


Nayo makundi ya watu wa miji iliyoko kandokando ya Yerusalemu wakakutanika, wakileta wagonjwa, nao walioudhiwa na pepo wachafu; nao wote wakaponywa.