Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 6:18 - Swahili Revised Union Version

18 na wale waliosumbuliwa na pepo wachafu; waliponywa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Walikuwa wamekuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Walikuwa wamekuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 na wale waliosumbuliwa na pepo wachafu; waliponywa.

Tazama sura Nakili




Luka 6:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, mwanamke Mkanaani wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Bwana, umrehemu mwanangu, kwa kuwa ana kifafa, na kuteswa vibaya; maana mara nyingi huanguka motoni, na mara nyingi majini.


Akashuka pamoja nao, akasimama mahali tambarare, pamoja na wanafunzi wake wengi, na makutano makubwa ya watu waliotoka Yudea wote na Yerusalemu, na pwani ya Tiro na Sidoni; waliokuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao;


Na makutano yote walikuwa wakitaka kumgusa, kwa sababu uweza ulikuwa ukimtoka ukiwaponya wote.


Nayo makundi ya watu wa miji iliyoko kandokando ya Yerusalemu wakakutanika, wakileta wagonjwa, nao walioudhiwa na pepo wachafu; nao wote wakaponywa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo