Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 4:17 - Swahili Revised Union Version

Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua kitabu, akapata mahali palipoandikwa,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua kitabu, akapata mahali palipoandikwa,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 4:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.


Maana, Daudi mwenyewe asema katika kitabu cha Zaburi, Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kulia,


Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome.


Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiria maskini Habari Njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,


Akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.


Kisha, baada ya Torati na kitabu cha Manabii kusomwa, wakuu wa sinagogi wakatuma mtu kwao, na kuwaambia, Ndugu, kama mkiwa na neno la kuwafaa watu hawa, lisemeni.


Kwa maana wakaao Yerusalemu, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua yeye, wala maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato, wameyatimiza kwa kumhukumu.


Basi Mungu akaghairi, akawaacha ili waliabudu jeshi la mbinguni, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii, Je! Mlinitolea mimi dhabihu na sadaka Miaka arubaini katika jangwa, enyi nyumba ya Israeli?