Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 4:17 - Swahili Revised Union Version

17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua kitabu, akapata mahali palipoandikwa,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Akapokea kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na akakuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 naye akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 naye akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua na kukuta mahali palipoandikwa:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua kitabu, akapata mahali palipoandikwa,

Tazama sura Nakili




Luka 4:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.


Maana, Daudi mwenyewe asema katika kitabu cha Zaburi, Bwana alimwambia Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kulia,


Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome.


Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiria maskini Habari Njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,


Akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.


Kisha, baada ya Torati na kitabu cha Manabii kusomwa, wakuu wa sinagogi wakatuma mtu kwao, na kuwaambia, Ndugu, kama mkiwa na neno la kuwafaa watu hawa, lisemeni.


Kwa maana wakaao Yerusalemu, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua yeye, wala maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato, wameyatimiza kwa kumhukumu.


Basi Mungu akaghairi, akawaacha ili waliabudu jeshi la mbinguni, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii, Je! Mlinitolea mimi dhabihu na sadaka Miaka arubaini katika jangwa, enyi nyumba ya Israeli?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo