Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 16:29 - Swahili Revised Union Version

29 Abrahamu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Lakini Abrahamu akamwambia: ‘Ndugu zako wanao Mose na manabii; waache wawasikilize hao.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Lakini Abrahamu akamwambia: ‘Ndugu zako wanao Mose na manabii; waache wawasikilize hao.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Lakini Abrahamu akamwambia: ‘Ndugu zako wanao Mose na manabii; waache wawasikilize hao.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Ibrahimu akamjibu, ‘Ndugu zako wana Maandiko ya Musa na Manabii, wawasikilize hao.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Ibrahimu akamjibu, ‘Ndugu zako wana Torati ya Musa na Manabii, wawasikilize hao.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Abrahamu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.

Tazama sura Nakili




Luka 16:29
13 Marejeleo ya Msalaba  

Tafuteni katika kitabu cha BWANA mkasome; hapana katika hao wote atakayekosa kuwapo, hapana mmoja atakayemkosa mwenzake; kwa maana kinywa changu kimeamuru, na roho yake imewakusanya.


Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


BWANA asema hivi, Simameni katika njia kuu, mkaone, mkaulize habari za mapito ya zamani, Iko wapi njia iliyo njema? Mkaende katika njia hiyo, nanyi mtajipatia raha katika nafsi zenu. Lakini walisema, Hatutaki kwenda katika njia hiyo.


Torati na Manabii vilikuwapo mpaka Yohana; tangu wakati huo Habari Njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujiingiza kwa nguvu.


Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.


Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua kitabu, akapata mahali palipoandikwa,


Kwa maana tangu zamani za kale Musa anao watu wahubirio mambo yake; katika kila mji husomwa kila sabato katika masinagogi.


Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo