Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 16:28 - Swahili Revised Union Version

28 kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 maana ninao ndugu watano, ili awaonye wasije wakaja huku kwenye mateso.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 maana ninao ndugu watano, ili awaonye wasije wakaja huku kwenye mateso.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 maana ninao ndugu watano, ili awaonye wasije wakaja huku kwenye mateso.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 maana ninao ndugu watano. Awaonye, ili wasije nao wakafika mahali hapa pa mateso.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 maana ninao ndugu watano. Awaonye, ili wasije nao wakafika mahali hapa pa mateso.’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso.

Tazama sura Nakili




Luka 16:28
16 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu,


Akatuagiza tuwahubirie watu na kushuhudia ya kuwa huyu ndiye aliyeamriwa na Mungu awe Mhukumu wa walio hai na wafu.


Hata Sila na Timotheo walipoteremka kutoka Makedonia, Paulo akasongwa sana na lile neno, akiwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristo.


Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi.


nikiwashuhudia Wayahudi na Wagiriki wamtubie Mungu, na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.


isipokuwa Roho Mtakatifu mji kwa mji hunishuhudia akisema, ya kwamba vifungo na dhiki vyaningoja.


Lakini siyahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na huduma ile niliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Habari Njema ya neema ya Mungu.


Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako.


Basi kwa kuwa nimeupata msaada utokao kwa Mungu nimesimama hata leo hivi nikiwashuhudia wadogo kwa wakubwa, wala sisemi neno ila yale ambayo manabii na Musa waliyasema, kwamba yatakuwa;


Wakiisha kupanga naye siku, wakamjia katika nyumba aliyokaa, watu wengi sana, akawaeleza kwa taratibu na kuushuhudia ufalme wa Mungu, akiwaonya mambo yake Yesu, kwa maneno ya Sheria ya Musa na ya manabii, tangu asubuhi hadi jioni.


Nao walipokwisha kushuhudia na kulihubiri neno la Bwana wakarudi Yerusalemu, wakaihubiri Injili katika vijiji vingi vya Wasamaria.


Tena namshuhudia kila mtu atahiriwaye, kwamba ni wajibu wake kuitimiza torati yote.


Basi nasema neno hili, tena nashuhudia katika Bwana, tangu sasa msiende kama Mataifa waenendavyo, katika ubatili wa nia zao;


vile vile, kama mjuavyo, jinsi tulivyomwonya kila mmoja wenu kama baba awaonyavyo watoto wake mwenyewe, tukiwatia moyo na kushuhudia;


Mtu asimpunje ndugu yake wala kumkosea katika jambo hili; kwa sababu Bwana ndiye alipizaye kisasi cha haya yote; kama tulivyowaambia kwanza, tukashuhudia sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo