Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 3:34 - Swahili Revised Union Version

wa Yakobo, wa Isaka, wa Abrahamu, wa Tera, wa Nahori,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

aliyekuwa mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Abrahamu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

aliyekuwa mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Abrahamu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

aliyekuwa mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Abrahamu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaka, Isaka alikuwa mwana wa Ibrahimu, Ibrahimu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaka, Isaka alikuwa mwana wa Ibrahimu, Ibrahimu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wa Yakobo, wa Isaka, wa Abrahamu, wa Tera, wa Nahori,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 3:34
10 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akamwita jina lake Isaka, yule mwana aliyezaliwa, ambaye Sara alimzalia.


Baadaye ndugu yake akatoka, na mkono wake ukiwa umemshika Esau kisigino. Akaitwa jina lake Yakobo. Isaka alikuwa mwenye miaka sitini mkewe alipowazaa.


Na Abrahamu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.


Abrahamu alimzaa Isaka; Isaka akamzaa Yakobo; Yakobo akamzaa Yuda na ndugu zake;


wa Aminadabu, wa Admini, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda,


wa Serugi, wa Regau, wa Pelegi, wa Eberi, wa Sala,


Akampa agano la tohara; basi Abrahamu akamzaa Isaka, akamtahiri siku ya nane. Isaka akamzaa Yakobo. Yakobo akawazaa wale kumi na wawili, wazee wetu.


Yoshua akawaambia watu wote, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Baba zenu hapo zamani walikaa ng'ambo ya Mto, maana Tera, baba yake Abrahamu na Nahori; waliitumikia miungu mingine.