Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 3:33 - Swahili Revised Union Version

33 wa Aminadabu, wa Admini, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 aliyekuwa mwana wa Aminadabu, mwana wa Admini, mwana wa Arni, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 aliyekuwa mwana wa Aminadabu, mwana wa Admini, mwana wa Arni, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 aliyekuwa mwana wa Aminadabu, mwana wa Admini, mwana wa Arni, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Esromu, Esromu alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 wa Aminadabu, wa Admini, wa Hesroni, wa Peresi, wa Yuda,

Tazama sura Nakili




Luka 3:33
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akapata mimba tena, akazaa mwana. Akasema, Mara hii nitamsifu BWANA; kwa hiyo akamwita jina lake Yuda; akaacha kuzaa.


Ikawa aliporudisha mkono wake, tazama, ndugu yake akatoka. Akasema, Mbona umepita kwa nguvu wewe? Mambo ya nguvu na yakuandame. Kwa hiyo jina lake likaitwa Peresi


Na wana wa Yuda; Eri, na Onani, na Shela, na Peresi, na Zera; lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani. Na wana wa Peresi, ni Hesroni, na Hamuli.


Yuda, ndugu zako watakusifu, Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watakuinamia.


Uthai, mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imli, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.


Na hao watakaopanga upande wa mashariki, kwa kuelekea maawio ya jua, ndio wale wa bendera ya kambi ya Yuda, kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Yuda atakuwa Nashoni mwana wa Aminadabu.


na kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja hayo ndiyo matoleo ya Nashoni mwana wa Aminadabu.


wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni,


wa Yakobo, wa Isaka, wa Abrahamu, wa Tera, wa Nahori,


Nyumba yako na ifanane na nyumba yake Peresi, ambaye Tamari alimzalia Yuda, kwa wazao atakaokupa BWANA katika mwanamke huyu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo