Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 3:12 - Swahili Revised Union Version

Watoza ushuru nao wakaja kubatizwa, wakamwuliza, Mwalimu, tufanye nini sisi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao watozaushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, “Mwalimu, tufanye nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao watozaushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, “Mwalimu, tufanye nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao watozaushuru wakaja pia ili wabatizwe, wakamwuliza, “Mwalimu, tufanye nini?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Mwalimu na sisi inatupasa tufanyeje?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana, na sisi inatupasa tufanyeje?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watoza ushuru nao wakaja kubatizwa, wakamwuliza, Mwalimu, tufanye nini sisi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 3:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mnapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?


Lakini yule mtoza ushuru alisimama mbali, wala hakuthubutu hata kuinua macho yake mbinguni, bali alijipigapiga kifua akisema, Ee Mungu, uniwie radhi mimi mwenye dhambi.


Makutano wakamwuliza, Tufanye nini basi?


Akawaambia, Msitoze kitu zaidi kuliko mlivyoamriwa.


Na watu wote na watoza ushuru waliposikia hayo, waliikiri haki ya Mungu, kwa kuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?