Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 24:34 - Swahili Revised Union Version

wakisema, Bwana amefufuka kweli kweli, naye amemtokea Simoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakisema, “Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakisema, “Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakisema, “Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakasema, “Ni kweli! Bwana Isa amefufuka, naye amemtokea Simoni.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakisema, “Ni kweli! Bwana Isa amefufuka, naye amemtokea Simoni.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakisema, Bwana amefufuka kweli kweli, naye amemtokea Simoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 24:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya; huko mtamwona, kama alivyowaambia.


Hayupo hapa, amefufuka. Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa bado yuko Galilaya,


Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.


Ndipo Yohana alipowaita wawili katika wanafunzi wake, akawatuma kwa Yesu akiuliza, Wewe ndiwe yule ajaye, au tumtazamie mwingine?


wale aliojidhihirisha kwao kuwa yu hai, kwa dalili nyingi, baada ya kuteswa kwake, akiwatokea muda wa siku arubaini, na kuyanena mambo yaliyouhusu ufalme wa Mungu.


na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Kumi na Wawili;