Luka 7:19 - Swahili Revised Union Version19 Ndipo Yohana alipowaita wawili katika wanafunzi wake, akawatuma kwa Yesu akiuliza, Wewe ndiwe yule ajaye, au tumtazamie mwingine? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 aliwatuma kwa Bwana wamwulize: “Wewe ndiye yule anayekuja, au tumngoje mwingine?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 aliwatuma kwa Bwana wamwulize: “Wewe ndiye yule anayekuja, au tumngoje mwingine?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 aliwatuma kwa Bwana wamwulize: “Wewe ndiye yule anayekuja, au tumngoje mwingine?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 na kuwatuma kwa Bwana Isa ili kumuuliza, “Wewe ndiwe yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 na kuwatuma kwa Bwana Isa ili kumuuliza, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Ndipo Yohana alipowaita wawili katika wanafunzi wake, akawatuma kwa Yesu akiuliza, Wewe ndiwe yule ajaye, au tumtazamie mwingine? Tazama sura |