Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 24:34 - Swahili Revised Union Version

34 wakisema, Bwana amefufuka kweli kweli, naye amemtokea Simoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 wakisema, “Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 wakisema, “Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 wakisema, “Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 wakasema, “Ni kweli! Bwana Isa amefufuka, naye amemtokea Simoni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 wakisema, “Ni kweli! Bwana Isa amefufuka, naye amemtokea Simoni.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 wakisema, Bwana amefufuka kweli kweli, naye amemtokea Simoni.

Tazama sura Nakili




Luka 24:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya; huko mtamwona, kama alivyowaambia.


Hayupo hapa, amefufuka. Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa bado yuko Galilaya,


Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.


Ndipo Yohana alipowaita wawili katika wanafunzi wake, akawatuma kwa Yesu akiuliza, Wewe ndiwe yule ajaye, au tumtazamie mwingine?


wale aliojidhihirisha kwao kuwa yu hai, kwa dalili nyingi, baada ya kuteswa kwake, akiwatokea muda wa siku arubaini, na kuyanena mambo yaliyouhusu ufalme wa Mungu.


na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Kumi na Wawili;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo