Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 24:2 - Swahili Revised Union Version

Wakalikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka mdomo wa kaburi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka kwenye kaburi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakalikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 24:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, palikuwa na tetemeko kubwa la ardhi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha lile jiwe akalikalia.


Siku ya kwanza ya juma, ilipoanza kupambazuka, walikwenda kaburini, wakiyaleta manukato waliyoweka tayari.


Wakaingia, wasiuone mwili wa Bwana Yesu.


Basi Yesu, akiwa na huzuni tena moyoni mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake.


Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.