Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 23:16 - Swahili Revised Union Version

Kwa hiyo nitamrudi, kisha nitamfungua. [

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, nitaamuru apigwe viboko, halafu nitamwachilia.” [

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, nitaamuru apigwe viboko, halafu nitamwachilia.” [

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, nitaamuru apigwe viboko, halafu nitamwachilia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo nitaamuru apigwe mijeledi na kumwachilia.” [

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo nitaamuru apigwe mijeledi na kumwachia.” [

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hiyo nitamrudi, kisha nitamfungua. [

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 23:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


Ndipo akawafungulia Baraba; na baada ya kumpiga Yesu mijeledi, akamtoa ili asulubiwe.


Pilato kwa kupenda kuwaridhisha watu, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulubiwe.


Maana ilimlazimu kuwafungulia mfungwa mmoja wakati wa sikukuu.]


Akawaambia mara ya tatu, Kwa sababu gani? Huyu ametenda uovu gani? Sikuona kwake hata neno lipasalo kufa. Basi nikiisha kumrudi nitamfungua.


Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; sameheni, nanyi mtasamehewa.


Paulo akawaambia, Wametupiga mbele ya watu wote bila kutuhukumu, na sisi tu Warumi, tena wametutupa gerezani; na sasa wanataka kututoa kwa siri? Sivyo, lakini na waje wenyewe wakatutoe.