Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 22:51 - Swahili Revised Union Version

Yesu akajibu akasema, Muwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo, Yesu akasema, “Acha! Hii inatosha.” Akaligusa sikio la mtu huyo, akaliponya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo, Yesu akasema, “Acha! Hii inatosha.” Akaligusa sikio la mtu huyo, akaliponya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo, Yesu akasema, “Acha! Hii inatosha.” Akaligusa sikio la mtu huyo, akaliponya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Isa akasema, “Acheni!” Akaligusa lile sikio la yule mtu na kumponya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Isa akasema, “Acheni!” Akaligusa lile sikio la yule mtu na kumponya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akajibu akasema, Muwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 22:51
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mmoja wao akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio la kulia.


Yesu akawaambia wakuu wa makuhani, na maofisa wa hekalu, na wazee, waliokuja juu yake, Je! Mmekuja mkiwa na panga na marungu kama kukamata mnyang'anyi?


Nilipokuwapo pamoja nao, mimi niliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie.


Ila Paulo akapaza sauti yake kwa nguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tuko hapa.


Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.


Basi, mimi Paulo mwenyewe nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo; mimi niliye mnyenyekevu nikiwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo ni mwenye ujasiri kwenu;