Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 22:43 - Swahili Revised Union Version

Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo, malaika kutoka mbinguni akamtokea ili kumtia moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo, malaika kutoka mbinguni akamtokea ili kumtia moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo, malaika kutoka mbinguni akamtokea ili kumtia moyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 22:43
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa upande wangu, katika mwaka wa kwanza wa Dario, Mmedi, mimi nilisimama ili kumsaidia na kumtia nguvu.


Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?


Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.


akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.


lakini nimekuombea wewe ili imani yako isipungue; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.


wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwahimiza wakae katika ile Imani, na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi.


Baada ya kukaa huko kwa siku kadhaa akaondoka, akapita kati ya nchi ya Galatia na Frigia, mji kwa mji, akiwatia moyo wanafunzi.


Lakini mwagize Yoshua, mtie moyo na nguvu, umtie na nguvu; kwani ndiye atakayevuka mbele ya watu hawa, na nchi utakayoiona atawarithisha yeye.


Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.


Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?


Hata tena, amletapo mzaliwa wa kwanza ulimwenguni, asema, Na wamsujudu malaika wote wa Mungu.


Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye kafara ya suluhu kwa dhambi za watu wake.