Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 22:38 - Swahili Revised Union Version

Wakasema, Bwana, tazama, hapa pana panga mbili. Akawaambia, Basi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao wakasema, “Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.” Naye akasema, “Basi!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao wakasema, “Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.” Naye akasema, “Basi!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao wakasema, “Bwana, tazama; hapa kuna panga mbili.” Naye akasema, “Basi!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana, tazama hapa kuna panga mbili.” Akawajibu, “Inatosha.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wake wakamwambia, “Bwana Isa, tazama hapa kuna panga mbili.” Akawajibu, “Inatosha.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakasema, Bwana, tazama, hapa pana panga mbili. Akawaambia, Basi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 22:38
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, mmoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akanyosha mkono wake, akaufuta upanga wake, akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio.


Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho lake akanunue.


Na wale waliokuwa karibu naye walipoona yatakayotokea, walisema, Bwana, tuwapige kwa upanga?


Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa.


Lakini sisi tulio wa mchana, tuwe na kiasi, hali tukijivika kifuani imani na upendo, na chapeo yetu iwe tumaini la wokovu.


Nanyi mpingeni huyo, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kuwa mateso yale yale yanatimizwa kwa ndugu zenu kote duniani.