Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 22:12 - Swahili Revised Union Version

Naye atawaonesha chumba kikubwa ghorofani, kimekwisha tayarishwa; andaeni humo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye atawaonesheni chumba kikubwa ghorofani ambacho kimepambwa. Andalieni humo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye atawaonesheni chumba kikubwa ghorofani ambacho kimepambwa. Andalieni humo.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye atawaonesheni chumba kikubwa ghorofani ambacho kimepambwa. Andalieni humo.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Atawaonesha chumba kikubwa ghorofani, kikiwa kimepambwa vizuri. Andaeni humo.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Atawaonyesha chumba kikubwa ghorofani, kikiwa kimepambwa vizuri. Andaeni humo.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye atawaonesha chumba kikubwa ghorofani, kimekwisha tayarishwa; andaeni humo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 22:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtamwambia mwenye nyumba, Mwalimu akuambia, Kiko wapi chumba cha wageni, nipate kula Pasaka humo pamoja na wanafunzi wangu?


Wakaenda, wakaona kama alivyowaambia, wakaiandaa Pasaka.


na kwa sababu hakuwa na haja ya mtu kushuhudia habari za mwanadamu; kwa maana yeye mwenyewe alijua yaliyomo ndani ya mwanadamu.


Akamwambia mara ya tatu, Simoni wa Yohana, wanipenda? Petro alihuzunika kwa vile alivyomwambia mara ya tatu, Wanipenda? Akamwambia, Bwana, wewe wajua yote; wewe umetambua ya kuwa nakupenda. Yesu akamwambia, Lisha kondoo wangu.


Wakati walipoingia, wakapanda ghorofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yohana, na Yakobo, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo wa Alfayo, na Simoni Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Palikuwa na taa nyingi katika ghorofa lile tulipokuwa tumekusanyika.