Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 20:8 - Swahili Revised Union Version

8 Palikuwa na taa nyingi katika ghorofa lile tulipokuwa tumekusanyika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kwenye chumba cha ghorofani walimokuwa wamekutania kulikuwa na taa nyingi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Palikuwa na taa nyingi katika ghorofa lile tulipokuwa tumekusanyika.

Tazama sura Nakili




Matendo 20:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.


Naye atawaonesha chumba kikubwa ghorofani, kimekwisha tayarishwa; andaeni humo.


Wakati walipoingia, wakapanda ghorofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yohana, na Yakobo, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo wa Alfayo, na Simoni Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Kijana mmoja, jina lake Eutiko, alikuwa ameketi dirishani, akalemewa na usingizi sana; hata Paulo alipoendelea sana kuhubiri, akazidiwa na usingizi wake akaanguka toka ghorofa ya tatu; akainuliwa amekwisha kufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo