Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:6 - Swahili Revised Union Version

Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipokuwa huko, siku yake ya kujifungua ikawadia,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakiwa Bethlehemu, wakati wa Mariamu wa kujifungua ukawa umetimia,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakiwa Bethlehemu, wakati wa Mariamu wa kujifungua ukawa umetimia,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Shauri la BWANA lasimama milele, Makusudi ya moyo wake vizazi na vizazi.


Mna hila nyingi moyoni mwa mtu; Lakini shauri la BWANA ndilo litakalosimama.


Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye asili yake imekuwa tangu zamani za kale, tangu milele.


Ikawa, siku za kuzaa kwake Elisabeti zilipotimia, alizaa mtoto mwanamume.


ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe, ambaye amemposa, naye ana mimba.


akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.