Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:33 - Swahili Revised Union Version

Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na babaye na mamaye walikuwa wakiyastaajabia hayo yaliyonenwa juu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:33
8 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi na watoto hawa niliopewa na BWANA tu ishara na ajabu katika Israeli, zitokazo kwa BWANA wa majeshi, yeye akaaye katika mlima Sayuni.


Alipokuwa katika kusema na makutano, tazama, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wataka kusema naye.


Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.


Na walipomwona walishangaa, na mama yake akamwambia, Mwanangu, mbona umetutenda hivi? Tazama, baba yako na mimi tulikuwa tukikutafuta kwa huzuni.


Wala hawakuweza kumshitaki kwa maneno yake mbele ya watu; wakastaajabia majibu yake, wakanyamaza.


Wote wakashangaa, wakiuona ukuu wa Mungu. Nao walipokuwa wakiyastaajabia mambo yote aliyoyafanya, aliwaambia wanafunzi wake,