Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:3 - Swahili Revised Union Version

Watu wote wakaenda kuandikwa, kila mtu mjini kwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wote waliohusika walikwenda kuhesabiwa kila mtu katika mji wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wote waliohusika walikwenda kuhesabiwa kila mtu katika mji wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wote waliohusika walikwenda kuhesabiwa kila mtu katika mji wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila mtu alienda kuandikishwa katika mji wake alikozaliwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila mtu alikwenda kuandikishwa katika mji wake alikozaliwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wote wakaenda kuandikwa, kila mtu mjini kwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Efroni alikuwa akiketi kati ya wazawa wa Hethi. Efroni Mhiti akamjibu Abrahamu, na wazawa wa Hethi wanasikiliza, hata watu wote waingiao mlango wa mji wake, akisema,


Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote wa ulimwengu.


Orodha hii ndiyo ya kwanza iliyoandikwa hapo Kirenio alipokuwa mtawala wa Shamu.


Yusufu naye aliondoka Galilaya, toka mji wa Nazareti, akapanda kwenda Yudea mpaka katika mji wa Daudi, uitwao Bethlehemu, kwa kuwa yeye ni wa ukoo na jamaa ya Daudi;


ili aandikwe pamoja na Mariamu mkewe, ambaye amemposa, naye ana mimba.