Mwanzo 23:10 - Swahili Revised Union Version10 Basi Efroni alikuwa akiketi kati ya wazawa wa Hethi. Efroni Mhiti akamjibu Abrahamu, na wazawa wa Hethi wanasikiliza, hata watu wote waingiao mlango wa mji wake, akisema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Efroni mwenyewe alikuwa miongoni mwa Wahiti hao waliokuwa wamekutanika penye lango la mji. Basi, Efroni Mhiti, akamjibu Abrahamu, mbele ya Wahiti wote hapo langoni, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Efroni mwenyewe alikuwa miongoni mwa Wahiti hao waliokuwa wamekutanika penye lango la mji. Basi, Efroni Mhiti, akamjibu Abrahamu, mbele ya Wahiti wote hapo langoni, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Efroni mwenyewe alikuwa miongoni mwa Wahiti hao waliokuwa wamekutanika penye lango la mji. Basi, Efroni Mhiti, akamjibu Abrahamu, mbele ya Wahiti wote hapo langoni, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Efroni Mhiti alikuwa ameketi miongoni mwa watu wake; akamjibu Ibrahimu mbele ya Wahiti wote waliokuwa katika lango la mji: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Efroni Mhiti alikuwa ameketi miongoni mwa watu wake, akamjibu Ibrahimu mbele ya Wahiti wote waliokuwepo katika lango la mji. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Basi Efroni alikuwa akiketi kati ya wazawa wa Hethi. Efroni Mhiti akamjibu Abrahamu, na wazawa wa Hethi wanasikiliza, hata watu wote waingiao mlango wa mji wake, akisema, Tazama sura |