Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 2:19 - Swahili Revised Union Version

Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Maria aliyaweka na kuyatafakari mambo hayo yote moyoni mwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Mariamu akayaweka mambo haya yote moyoni mwake na kuyatafakari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Mariamu akayaweka mambo haya yote moyoni mwake na kuyatafakari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 2:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndugu zake wakamhusudu; bali baba yake akalihifadhi neno hili.


Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Naye akanifundisha, akaniambia, Moyo wako uyahifadhi maneno yangu; Shika amri zangu ukaishi.


Huu ndio mwisho wa jambo lile. Nami, Danieli, fikira zangu zilinifadhaisha, na uso wangu ulinibadilika; lakini nililiweka jambo hilo moyoni mwangu.


Ni nani aliye na hekima, naye atayafahamu mambo haya? Ni nani aliye na busara, naye atayajua? Kwa maana njia za BWANA zimenyoka, nao wenye haki watakwenda katika njia hizo; bali waasio wataanguka ndani yake.


Na wote walioyasikia wakayaweka mioyoni mwao, wakisema, Mtoto huyu atakuwa wa namna gani? Kwa sababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.


Wote waliosikia wakastaajabu kwa hayo waliyoambiwa na wachungaji.


Akashuka pamoja nao mpaka Nazareti, naye alikuwa akiwatii; na mamaye aliyaweka hayo yote moyoni mwake.


Naye Daudi akayatia maneno hayo moyoni mwake, akamwogopa sana Akishi, mfalme wa Gathi.