1 Samueli 21:12 - Swahili Revised Union Version12 Naye Daudi akayatia maneno hayo moyoni mwake, akamwogopa sana Akishi, mfalme wa Gathi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Maneno hayo Daudi hakuweza kuyasahau, akaanza kumwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Maneno hayo Daudi hakuweza kuyasahau, akaanza kumwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Maneno hayo Daudi hakuweza kuyasahau, akaanza kumwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Daudi akayaweka maneno haya moyoni naye akamwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Daudi akayaweka maneno haya moyoni naye akamwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Naye Daudi akayatia maneno hayo moyoni mwake, akamwogopa sana Akishi, mfalme wa Gathi. Tazama sura |