Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 21:12 - Swahili Revised Union Version

12 Naye Daudi akayatia maneno hayo moyoni mwake, akamwogopa sana Akishi, mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Maneno hayo Daudi hakuweza kuyasahau, akaanza kumwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Maneno hayo Daudi hakuweza kuyasahau, akaanza kumwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Maneno hayo Daudi hakuweza kuyasahau, akaanza kumwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Daudi akayaweka maneno haya moyoni naye akamwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Daudi akayaweka maneno haya moyoni naye akamwogopa sana Akishi mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Naye Daudi akayatia maneno hayo moyoni mwake, akamwogopa sana Akishi, mfalme wa Gathi.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 21:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wa mahali hapo wakamwuliza habari za mkewe. Akasema, Ni dada yangu huyu maana aliogopa kusema, Ni mke wangu, watu wa nchi wasije wakamwua kwa ajili ya Rebeka; kwa maana alikuwa mzuri wa uso.


Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Nilimtafuta BWANA, naye akanijibu, Akaniokoa kutoka kwa hofu zangu zote.


Siku ya hofu yangu nitakutumaini Wewe;


Lakini Mariamu akayaweka maneno hayo yote, akiyafikiri moyoni mwake.


Akashuka pamoja nao mpaka Nazareti, naye alikuwa akiwatii; na mamaye aliyaweka hayo yote moyoni mwake.


Nao wale wanawake wakaitikiana wakicheza, wakasema, Sauli amewaua elfu zake, Na Daudi makumi elfu yake.


Basi Daudi akaondoka, akakimbia siku ile, kwa hofu ya Sauli, akamwendea Akishi, mfalme wa Gathi.


Akaubadilisha mwenendo wake mbele yao, akajifanya mwenye wazimu mikononi mwao, akakunakuna katika mbao za mlango, na kuyaacha mate yake kuanguka juu ya ndevu zake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo