Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:6 - Swahili Revised Union Version

Akafanya haraka, akashuka, akamkaribisha kwa furaha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo Zakayo akashuka upesi, akamkaribisha Isa nyumbani mwake kwa furaha kubwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo Zakayo akashuka upesi, akamkaribisha Isa nyumbani kwake kwa furaha kubwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafanya haraka, akashuka, akamkaribisha kwa furaha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe wamlaki yeye afurahiaye yaliyo haki na kuyatenda, watu wale wakukumbukao katika njia zako; tazama, ulikuwa na hasira, nasi tulitenda dhambi; tumekuwa katika dhambi kwa muda mrefu, nasi Je! Tutaokolewa?


Na Yesu, alipofika mahali pale, alitazama juu, akamwambia, Zakayo, shuka upesi, kwa kuwa leo imenipasa kushinda nyumbani mwako.


Hata watu walipoona, walinung'unika wote, wakisema, Ameingia kukaa kwa mtu mwenye dhambi.


Wakaenda kwa haraka wakamkuta Mariamu na Yusufu, na yule mtoto mchanga amelala horini.


Na Lawi akamfanyia karamu kubwa nyumbani mwake; palikuwa na mkutano mkuu wa watoza ushuru na watu wengineo waliokuwa wameketi chakulani pamoja nao.


Hata alipokwisha kubatizwa, yeye na nyumba yake, akatusihi, akisema, Kama mmeniona kuwa mwaminifu kwa Bwana, ingieni nyumbani mwangu mkakae. Akatusihi sana.


Akawaleta juu nyumbani kwake, akawaandalia chakula, akafurahi sana, yeye na nyumba yake yote, maana amekwisha kumwamini Mungu.


Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapatao elfu tatu.