Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:6 - Swahili Revised Union Version

Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule hakimu dhalimu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bwana Isa akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bwana Isa akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule hakimu dhalimu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.


Ndipo Yohana alipowaita wawili katika wanafunzi wake, akawatuma kwa Yesu akiuliza, Wewe ndiwe yule ajaye, au tumtazamie mwingine?


je! Hamkufanya hitilafu mioyoni mwenu, mkawa waamuzi wenye mawazo maovu?