Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 18:6 - Swahili Revised Union Version

6 Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule hakimu dhalimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Bwana Isa akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Bwana Isa akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Bwana akasema, Sikilizeni asemavyo yule hakimu dhalimu.

Tazama sura Nakili




Luka 18:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.


Ndipo Yohana alipowaita wawili katika wanafunzi wake, akawatuma kwa Yesu akiuliza, Wewe ndiwe yule ajaye, au tumtazamie mwingine?


je! Hamkufanya hitilafu mioyoni mwenu, mkawa waamuzi wenye mawazo maovu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo