Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 17:36 - Swahili Revised Union Version

Watu wawili watakuwa shambani, mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa.]

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanaume wawili watakuwa wanafanya kazi pamoja shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanaume wawili watakuwa wanafanya kazi pamoja shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.]”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wawili watakuwa shambani, mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa.]

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 17:36
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule watu wawili watakuwako shambani; mmoja atwaliwa, mmoja aachwa;


Wakajibu, wakamwuliza, Wapi, Bwana? Akawaambia, Ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.