Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 14:4 - Swahili Revised Union Version

Wao wakanyamaza. Akamshika, akamponya, akamruhusu aende zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wao wakakaa kimya. Yesu akamshika huyo mgonjwa, akamponya, akamwacha aende zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wao wakakaa kimya. Yesu akamshika huyo mgonjwa, akamponya, akamwacha aende zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wao wakakaa kimya. Yesu akamshika huyo mgonjwa, akamponya, akamwacha aende zake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakakaa kimya. Hivyo Isa akamshika yule mgonjwa mkono na kumponya, akamruhusu aende zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakakaa kimya. Hivyo Isa akamshika yule mgonjwa mkono na kumponya, akamruhusu aende zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wao wakanyamaza. Akamshika, akamponya, akamruhusu aende zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 14:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu yeyote tangu siku ile kumwuliza neno tena.


Yesu akajibu, akawaambia wanasheria na Mafarisayo, Je! Ni halali kuponya siku ya sabato, ama sivyo?


Akawaambia, Ni nani miongoni mwenu, ikiwa ng'ombe wake au punda wake ametumbukia kisimani, asiyemwopoa mara hiyo siku ya sabato?