Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 14:20 - Swahili Revised Union Version

Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hiyo siwezi kuja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na mwingine akasema: ‘Nimeoa kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na mwingine akasema: ‘Nimeoa kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na mwingine akasema: ‘Nimeoa kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Naye mwingine akasema, ‘Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye mwingine akasema, ‘Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwingine akasema, Nimeoa mke, na kwa sababu hiyo siwezi kuja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 14:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mwingine akasema, Nimenunua ng'ombe jozi tano, ninakwenda kuwajaribu; tafadhali unisamehe.


Yule mtumwa akaenda, akamwambia Bwana wake kuhusu mambo hayo. Basi, yule mwenye nyumba akakasirika, akamwambia mtumwa wake, Toka upesi, uende katika njia kuu na vichochoro vya mji, ukawalete hapa maskini, na vilema, na vipofu, na viwete.


bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.


Mtu atwaapo mke mpya, asiende vitani pamoja na jeshi, wala asipewe shughuli juu yake yoyote; akae faragha mwaka mmoja nyumbani mwake, apate mfurahisha mkewe aliyemtwaa.