Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 11:54 - Swahili Revised Union Version

wakimvizia, ili wapate neno litokalo kinywani mwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ili wapate kumnasa kwa maneno yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ili wapate kumnasa kwa maneno yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ili wapate kumnasa kwa maneno yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakivizia kumkamata kwa kitu atakachosema ili wamshtaki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakivizia kumkamata kwa kitu atakachosema ili wamshtaki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakimvizia, ili wapate neno litokalo kinywani mwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 11:54
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, mfalme wa Israeli alipousoma waraka, alirarua mavazi yake, akasema, Je! Mimi ni Mungu, niue na kuhuisha, hata mtu huyu akanipelekea mtu nimponye ukoma wake? Fahamuni, basi, nakusihini, mwone ya kuwa mtu huyu anataka kugombana nami.


Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafanya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.


Lakini Yesu akaufahamu uovu wao, akasema, Mbona mnanijaribu, enyi wanafiki?


Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza, akimjaribu;


Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodi, ili wamnase kwa maneno.


wakamvizia ili kuona kama atamponya siku ya sabato; wapate kumshitaki.


Alipotoka humo, Waandishi na Mafarisayo walianza kumsonga vibaya, na kumchokoza kwa maswali mengi,


Wakamviziavizia, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wamnase katika maneno yake, wapate kumtia katika enzi na mamlaka ya mtawala.


Wala hawakuweza kumshitaki kwa maneno yake mbele ya watu; wakastaajabia majibu yake, wakanyamaza.


Basi wewe usikubali; kwa maana watu zaidi ya arubaini wanamwotea, wamejifunga kwa kiapo wasile wala wasinywe hadi watakapomwua; nao sasa wako tayari, wakisubiri kusikia utasemaje.