Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 3:2 - Swahili Revised Union Version

2 wakamvizia ili kuona kama atamponya siku ya sabato; wapate kumshitaki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Humo, baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya Sabato ili wapate kumshtaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Humo, baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya Sabato ili wapate kumshtaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Humo, baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya Sabato ili wapate kumshtaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Wakawa wanamwangalia waone kama atamponya huyo mtu siku ya Sabato, ili wapate sababu ya kumshtaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Wakawa wanamwangalia waone kama atamponya siku ya Sabato, ili wapate sababu ya kumshtaki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 wakamvizia ili kuona kama atamponya siku ya sabato; wapate kumshitaki.

Tazama sura Nakili




Marko 3:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu asiye haki humvizia mwenye haki, Na kutafuta jinsi ya kumwua.


Maana nimesikia shutuma za watu wengi; hofu ziko pande zote. Rafiki zangu wote, wanaonivizia nisite, husema, Mshitaki, nasi tutamshitaki, huenda akahadaika, nasi tutamshinda, tutajilipiza kisasi kwake.


Basi mawaziri na viongozi wakatafuta sana kupata sababu za kumshitaki Danieli kwa habari za mambo ya ufalme; lakini hawakuweza kuona sababu wala kosa; kwa maana alikuwa mwaminifu, wala halikuonekana kosa wala hatia ndani yake.


Na tazama, yumo mtu mwenye mkono umepooza; wakamwuliza, wakisema, Ni halali kuponya watu siku ya sabato? Ili wapate kumshitaki.


Akamwambia yule mtu mwenye mkono uliopooza, Simama katikati.


Ikawa alipoingia ndani ya nyumba ya mtu mmoja miongoni mwa wakuu wa Mafarisayo siku ya sabato, ale chakula, walikuwa wakimvizia.


Wakamviziavizia, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wamnase katika maneno yake, wapate kumtia katika enzi na mamlaka ya mtawala.


Na Waandishi na Mafarisayo walikuwa wakimvizia, ili waone kama ataponya siku ya sabato; kusudi wapate neno la kumshitakia.


Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika ardhi.


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo